Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2018

ZIFAHAHMU NJIA ZAKUWA MZNGUMZAJI BORA

 Wapo baadhi ya wasomaji wangu walikuwa wakiniuliza "eti nifanye nini ili kuwa mzungumzaji mzuri mbele ya watu wengine? Swali hili kiukweli limekuwa likiwatatiza watu wengi sana kwa namna moja ama nyingine. Na kutokana na hali hiyo kumewafanya watu hao hao kuwa katika hali unyonge, kwani huisi watachekwa na sababu nyingine kama hizo. Lakini ukweli ni kwamba endapo utazijua siri hizi kuwa mzungumzaji bora zitakwenda kukusaidia kutoka katika hali uliyonayo hatimaye kuwa mzungumzaji mzuri . Zifuatazo ndizo mbinu kuwa mzungumaj bora: 1: Kuwa na taarifa za uhakika na kutosha. Moja ya njia bora ya kuwa mzungumzaji mzuri ni kuwa na utajiri wa vitu vingi katika kibubu cha ubongo wako . Watu wengi wanajiona hawawezi kuchangia maada yeyote ile mbele ya wengine hii ni kwa sababu wamekuwa hawana taarifa sahihi na za uhakika za kuweza kuzungumza. Hivyo Kama endapo nia yako ni kutaka kuzungumza mambo mbalimbali katika jamii yako ni lazima ujue vitu hivyo kwa undani zaidi. Kama u...

YANGA KWELI. HAKUNA KULALA HATIMAYE WZINDUA TIV YAO RASMI

Klabu soka ya Yanga imezindua programu maalum ikijiunga kidigitali katika kutoa taarifa za timu hiyo kwa mashabiki wake na kuiingizia kipato timu yao, hata hivyo kufuatia uzinduzi huo pia na jitihada za viongozi ya kuletea maendeleo ambapo iliambatana na minong'ono ya mda mrefu sasa imefikia mwisho ambapo Aprili Mosi mwaka huu klabu hiyo kongwe zaidi nchini inatarajia kuzindua TV ambapo mashabiki na watanzania kiujumla wataijua Yanga kupitia Yanga TV. Agnes's Mchome the sports lady

YANGA YAVUNJA UKIMIYA YAIFUATA SIMBA KILELENI LIGI KUU

 Mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Dar es Salaam Young Africans imefanikiwa kupata pointi tatu muhimi dhidi ya timu ya Stand United baada ya kuchomoza na ushindi wa mabao 3 – 1 mchezo uliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Mhilu na Ajibu katika kipindi cha kwanza na Obrey Chirwa akihitimisha mabao matatu kipindi cha pili huku kwa upande wa Stand United likifungwa na Vitalis Mayanga. Kwa matokeo hayo unaifanya Yanga SC kuwa na jumla ya alama 46 sawa na vinara Simba SC wakiwa na tofauti ya magoli ya kufungwa na kufunga.

NJIA ZA KUMFANYA MTU AISHI KWA FURAHA DUNIANI

Watu wengi wanashindwa kuishi kwa na watu wengine kutokana na kutokujua mambo muhimu yafuatayo:;;; 1: Kuwa mkarimu kwa kila Mtu: kama utakuwa mkarima kwa kila kitu ulichonacho na kushirikiana na wengine utafanya upendwe na watu. 2: Kuwa na furaha muda wote hata pale watu wanapokuuzi:   hii itasababisha watu kutokujua kuwa wewe ni mtu wa aina gani tofauti na kuwaonyeshea kiburi. 3: Heshimu kila mtu hata kama ni adui yako:  kuwaheshimu watu wa rika zote ni njia ya kufanya uishi kwa furaha pasipo na mikwaruzo kwani kila mmja umemheshimu kulingana na nafasi yake. 4: Epuka kumdharau mtu  hata kama hana chochote,: wengi wanakuwa na dharau kutokana na pesa pengine walizo nazo  na hivyo kuwadharau wengine bila kujua maisha ni mzunguko 5: Kuwa mnyenyekevu kwa watu;: Endapo utakuwa  unajishusha kwa kila mtu  ambaye hata si rika lako utaonekana mtu  mwenye busara na utapendwa na watu. Endapo utazingatia hayo utaishi maisha ya furaha yasiyo na ...