NJIA HIZI HAZIWEZI KUSABABISHA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA UKIMWI

Ugonjwa wa Ukimwi hauwezi kuambikizwa kwa njia zifuatazo 57 minutes ago  Ugonjwa wa ukimwi hauwezi kuambikizwa kwa njia zifuatazo. 1. Busu kavu 2. Kuchangia kitanda kimoja. 3. Kula kwa pamoja. 4. Kutumia vyombo vya aina moja kulia chakula. 5. Kupiga chafya. 6. Kuchangia choo kimoja 7. Kuumwa na wa wadudu ikiwemo (mbu).

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA MWANAMUZIKI KOFFI OLOMIDE

Koffi olomide