Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2018

MADHARA YA MAGONJWA YA KINYWA KWA WENYE VVU

Picha
WANAYOPASWA KUFANYA WENYE VVU KUEPUKA MARADHI YA KINYWA Watu wengi walioathiriwa na virusi vya ukimwi (VVU), hupatwa na maradhi tofauti ya kinywa. Na wakati mwingine wanapopatiwa matibabu ya kinywa na madaktari, huwa hawasemi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya usiri wa mgonjwa kwa daktari kuhusu afya yake kwa ujumla, kukosa umakini kwa daktari ama sababu nyingine yoyote. Hivyo, kushindwa kutambua hali hii, husababisha mhusika kukosa matibabu sahihi, hivyo kuendelea kuumia. Kwa maana hiyo, ni muhimu kwa waathirika kufahamu ya kwamba, wanapokwenda kwa daktari wa kinywa na meno kupatiwa tiba, ni vyema wakaelezea historia nzima ya afya zao. Hii itamsaidia daktari kupata ufahamu wa kutosha na kumuwezesha kutoa matibabu husika na kikamilifu. Kwani baadhi ya maradhi yanayoweza kumkumba muathirika wa ukimwi kinywani ni pamoja na kinywa kuwa kikavu (Xerostomia), fangasi (candidiasis), maradhi ya fizi (Periodontal diseases), saratani ya kinywa na vidonda kinywani. Ila izingatiwe ma...

ORODHA YA NCHI ZA AFRIKA

Picha
Jina la nchi au eneo, bendera Eneo (km²) Wakazi (mnamo Julai 2015) Wakazi kwa km² Mji Mkuu Burundi 27,830 9,824,000 Bujumbura Komoro 2,170 783,000 Moroni Jibuti 23,000 961,000 Jibuti Eritrea 121,320 6,895,000 Asmara Ethiopia 1,127,127 90,076,000 Addis Ababa Kenya 582,650 44,234,000 Nairobi Madagaska 587,040 23,043,000 Antananarivo Malawi 118,480 16,307,000 Lilongwe Mauritius 2,040 1,263,000 Port Louis Mayotte ( Ufaransa ) 374 229,000 Mamoudzou Msumbiji 801,590 25,728,000 Maputo RĂ©union (Ufaransa) 2,512 853,000 Saint-Denis Rwanda 26,338 11,324,000 Kigali Shelisheli 455 97,000 Victoria Somalia 637,657 10,972,000 Mogadishu Sudan Kusini 619,745 12,340,000 13 Juba Tanzania 945,087 48,829,000 Dodoma Uganda 236,040 35,760,000 Kampala Zambia 752,614 15,474,000 Lusaka Zimbabwe 390,580 13,503,000 Harare Afrika ya Kati Jina la nchi au eneo, bendera Eneo (km²) Wakaz...