Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2018

MWANAMKE MWENYE WATOTO WENGI DUNIANI

Picha
http://agnessmchome.blogspot.com/2018/07/magazeti-ya-leo-july-27-2018. html

HISTORIA YA MUZIKI WA DANCE

y 22, 2010 Ukitaka kuongea muziki wa dansi uliingiaje nchini ni muhimu kujua historia ya mji wa Tanga. Tanga ndipo muziki wa dansi ulipoingilia nchini. Wajerumani waliusambaratisha mji wa Tanga kwa mizinga kati mwaka 1888 na 89. Na baada ya hapo kuujenga upya kwa kufuata mpangilio uliosababisha Tanga kuwa na mitaa maarufukama barabara ya kwanza ya pili na kuendelea. Wajerumani walianzisha shule ya kwanza ya serikali Tanga 1892 na hapohapo wakanzisha bendi ya shule ya kwanza, pamoja na kuwa Wajerumani hawakutawala muda mrefu baada ya hapo lakini Waingereza waliiendeleza sana bendi hiyo iliyokuwa ikipiga aina mbalimbali za muziki wa kigeni. Dansi ilianza kwanza kama klabu ambapo watu walialikana kuja kucheza aina mbalimbali za muziki wa kizungu mtindo maarufu unaojulikana kama ballroom dancing. Aina hizi za klabu zilianzia Mombasa na kuingia nchini kupitia Tanga na kisha kuletwa Dar Es Salaam na klabiliyokuwa maarufu Tanga iliyoitwa Tanga Young Comrades Club, kla...

MAGAZETI YA LEO JULY 27 2018

Picha
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 27 moments ago By Mchome the sports lady

Koffi olomide

KOFFI OLOMIDE MCHUMI ALIYEBOBEA KATIKA MUZIKI. Ni watu wachache mno ambao wanaweza kuamini kuwa unaweza kumkuta msomi mwenye digrii mbili akiamua kupanda jukwaani na kunengua kama mwanamuziki, lakini hali hii ipo tofauti kwa mwanamuziki Koffi Olomide kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) pamoja na mafanikio aliyonayo kimuziki pia ni msomi aliyebobea katika maswala ya hisabati Koffi Olomide alizaliwa siku ya  ijumaa Julai 13, 1956 katika mji wa Kisangani uliopo kaskazini  mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Olomide ana asili wa  nchi mbili za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Sierra Leone. Mama yake ni raia wa Congo akitokea katika kabila la Songye ambalo linapatikana katika mkoa wa kasai wakati baba yake ni mwenye asili ya Sierra Leone. Kwa mujibu wa mila nautamaduni wa kabila la babu zake mama yake alimpa jina la ‘Koffi’ kutokana kuwa alizaliwa siku ya ijumaa alipokuwa bado ‘kinda’ koffi alipachikwa jina ba...

HISTORIA YA MWANAMUZIKI KOFFI OLOMIDE

N atumaini kuwa si mgeni sana na jina hili la Kofii Olomide hususani kwa kile kizazi cha 2000's kushuka chini na hasa hasa wale vijana wazamani kwenye miaka 1990's. Koffi Olomide ni msanii mkubwa wa muziki wa Dance wengi upenda kuuita "Lingala" kutoka huko nchi ya Demokrasia ya Congo. Jina kamili la mwana'lingala huyu ni Antoine Christophe Agbepa Mumba, maarufu kama Koffi Olomide alizaliwa miaka 58 iliyopita (Julai 13, 1956) siku ya Ijumaa huko Kisangani Demokrasia ya Congo. Jina hilo la Koffi alipewa na mama yake mzazi akiwa na maana ya kuzaliwa kwake siku hiyo ya ijumaa (Friday). Koffi amezaliwa na kukulia kwenye familia ya hali ya kawaida ikiwa na maana kwamba familia yao haikuwa ya juu kiuwezo wa ya chini (middle class - Family) Alianza kujifunza kuimba na kuandika mashairi akiwa na umri mdogo na kuwashangaza majirani zake hususani umahiri wake wa kutunga mashairi na kupiga gita. ELIMU: Koffi aliweza kubainika na baadhi ya wanafunzi wenzie na walimu wake ...

Magazeti ya leo july 18 2018

Picha
MAGAZETI YA LEO 18/7/2018 2 hours ago By Agne s's mchome